Kocha wa Manchester city Pep guardiola amesema Sergio Aguero na mlinzi Vicent kompany wote watabakia kwa ajili ya ligi kuu ya uingereza lakini mhispania huyo akasema Vicenti hakuwa sawa na sergio Aguero alisema baada ya kupokea kichapo kutoka kwa Barcelona sasa anatakutunia mbinu.
No comments:
Post a Comment