Monday, 24 October 2016

ASERNAL hawana malengo na WILSHERE.

Mtangazaji wa sky sport anaamini jack wilshere alitaka kuondoka Asernal kwa mkopo kwenda Bournemouth ili kupata nafasi ya kucheza.
Kiungo wa zamani wa Asernal ambaye yupo kwa mkopo hapo vitality stadium ambapo juzi ndo Siku ya kwanza kwa wilshere kucheza dakika 90 tangu mwaka 2014.

No comments:

Post a Comment