Monday, 24 October 2016

Rooney lazima nibakie Manchester united mpaka kufa kwangu.

Kapteni wa Manchester united ambaye amefunga goli moja msimu huu ambapo kiwango chake kilikuwa chini zidi ya Fenerbahnce hapo alhamis .
Rooney ambaye  kazi yake na umaarufu wake umeharibiwa na kocha mpya wa uingereza Gareth southgate baada kuondolewa na kwenda benchi katika mechi ya kufuzu kombe la dunia zidi ya SLOVENIA October 11.

No comments:

Post a Comment