Klabu ya Atletic Madrid hawana uwezo wa kusajili katika dirisha la usajili hapo mwakani kutokana kupewa athabu na FIFA.
Kwa upande wa Hispania na kutoka Real Madrid hii imeshawatokea lakini sababu ya kupewa athabu Atletic Madrid baada ya kusajili mchezaji aliyesajili Mara mbili pia mchezaji aliyechini ya miaka 18 kwa hiyo ni uvujifu wa sheria za FIFA.
INTERNATIONAL REPPORTER Senygang,About MUSIC, ENTERTAIMENT, SPORT, TOURISM, NEWS, MOVIE, SENYGANG GLOBAL PUBLISHER ONLINE.com Tz
Saturday, 22 October 2016
ATLETIC MADRID hawawezi kusajili mchezaji hapo January lakini watadumisha hatia yao.
Labels:senygang global publisher online.com tz
senygang global publisher online
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment