Saturday, 22 October 2016

ATLETIC MADRID hawawezi kusajili mchezaji hapo January lakini watadumisha hatia yao.

Klabu ya Atletic Madrid hawana uwezo wa kusajili katika dirisha la usajili hapo mwakani kutokana kupewa athabu na FIFA.
Kwa upande wa Hispania na kutoka Real Madrid hii imeshawatokea lakini sababu ya kupewa athabu Atletic Madrid baada ya kusajili mchezaji aliyesajili Mara mbili pia mchezaji aliyechini ya miaka 18 kwa hiyo ni uvujifu wa sheria za FIFA.

No comments:

Post a Comment