Friday, 21 October 2016

Msanii wa label ya ROC NATIONAL Tiwa savage amesema hawezi kusahau alikotoka .

Ni mwaka mzuri wa mwanamziki wa  kike Nigeria Tiwa savage ametengeneza vichwa vya habari mbali mbali aliposaini mkataba kwenye label ya mtu mzima JAY Z AMERICAN LABEL Roc national hii amebainisha atafanya kazi mpya hapo roc national lakini akasema siwezi kusahau nilikotoka na  nawashukuru nyote mlionisaindia mpaka kufika hapa kwa sababu Etty nimesaini label mpya.

No comments:

Post a Comment