Ni mwaka mzuri wa mwanamziki wa kike Nigeria Tiwa savage ametengeneza vichwa vya habari mbali mbali aliposaini mkataba kwenye label ya mtu mzima JAY Z AMERICAN LABEL Roc national hii amebainisha atafanya kazi mpya hapo roc national lakini akasema siwezi kusahau nilikotoka na nawashukuru nyote mlionisaindia mpaka kufika hapa kwa sababu Etty nimesaini label mpya.
No comments:
Post a Comment