Manchester united wanahitaji Paul Pogba asimame kidete na kutoa uwezo wake pale ANFIELD kwa ajili ya kushinda hapo jumatatu usiku
Baada ya manchester U kutumia pesa nyingi kwenye dilisha la usajili majira ya joto , watu wengi walikuwa wanamtegeme José morinho kuwa watapata mafanikio ya haraka lakini kwa sasa hawana raha kabisa kama ilivyo kuwa kwa ALEX FERGUSON.
No comments:
Post a Comment