Mchezaji wa Manchester city David Silva ni moja kati ya wachezaji wanao wanaoangalia uchezaji wa baadaye chini ya kocha pep guardiola baada kusikia tishio la kocha wao kuwa anataka kukisafisha kikosi cha Manchester city ili kutengeneza kikosi kinachoendana na mbinu zake za uchezaji.
No comments:
Post a Comment