Kiongozi wa timu ya Borussia Dortmund Joachim watzke amesema sheria yetu ipo nje kwa kurudi kwa Henerikh mkhitaryan kufatia na kuwa maisha ya chini huko Old Trafford.
Mkhitaryan alianza mchezo wake kwenye ligi ya uingereza sio mbali na huu msimu pale waliposhindwa 2-1 na Manchester city September lakini alipumzishwa kipindi mda wa mapumziko baada kocha kumuona anamathara kwa mahasimu wao.
INTERNATIONAL REPPORTER Senygang,About MUSIC, ENTERTAIMENT, SPORT, TOURISM, NEWS, MOVIE, SENYGANG GLOBAL PUBLISHER ONLINE.com Tz
Tuesday, 18 October 2016
Sheria za BORUSSIA DORTMUND ukitoka hakuna kurudi tena.
Labels:senygang global publisher online.com tz
senygang global publisher online
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment