Saturday, 22 October 2016

MOURUNHO kasema Chelsea hamuwezi kunisahau.

Kocha wa zamani wa Chelsea ambaye kwa sasa ni kocha wa Manchester united Jose mourinho amesema alikubari kufukuzwa pale Chelsea kwa sababu ya matokeo mabaya,pia akasema sijisikii vibaya  kuhusu Chelsea kuniondoa lakini nasisitiza kuwa Chelsea hawawezi kunifuta katika hisitoria yao.

No comments:

Post a Comment