Kocha wa zamani wa Chelsea ambaye kwa sasa ni kocha wa Manchester united Jose mourinho amesema alikubari kufukuzwa pale Chelsea kwa sababu ya matokeo mabaya,pia akasema sijisikii vibaya kuhusu Chelsea kuniondoa lakini nasisitiza kuwa Chelsea hawawezi kunifuta katika hisitoria yao.
No comments:
Post a Comment