Saturday, 22 October 2016

SUALEZ amekaribia kupata mkataba mrefu hapo BARCELONA.

Mchezaji wa kimataifa wa Uruguay amebainisha kuwa anafata nyao za Neymar na Javier mascherano kwa kusema lengo lake la baadaye ni kubaki barcelona  kwa Luis Enrique .
Suarez ameshamaliza kuongea na mwakilishi wa barcelona kuhusu mkataba wa mda mrefu .

No comments:

Post a Comment