Tuesday, 18 October 2016

NEYMAR amekubali kusaini mkataba Barcelona.

Mshambuliaji wa Barcelona neymar amekubali mkataba mpya ambao utamuweka hapo NOU CAMP mpaka msimu wa majira ya joto 2021.
Timu hiyo ya kikatalian wamefanya hicho kwa Euro £181M kwa mwaka wa kwanza alafu £200M kwa mkataba wa mwaka wa pili alafu mkataba wa mwaka wa tatu ni £226M kwa miaka iliyobaki litakuwa dili jingine.

No comments:

Post a Comment