Friday, 21 October 2016

Matengemeo ya OZIL yanatengemeana na WENGER.

Mchezaji wa Asernal Mesut Ozil anahitaji kufanya maamuzi ya baadae kwa kocha wa Asernal ,Arsene Wenger kabla hajasaini mkataba mpya,Mesut Ozil ambaye mkataba wake unaisha mwezi wa sita hapo mwakani .

No comments:

Post a Comment