Saturday, 22 October 2016

Rooney nje baada ya kurudi kwa ZLATAN njinsi gani Manchester united ipo kwenye mstari zidi ya Chelsea.

Kocha wa Manchester united Jose  mourinho anauwezo wa kutengeneza mabadiliko pale Stamford bridge baada ya kurudi kwa Marcus rashford na zlatan  Ibrahimovic hao ni baadhi  ya kikosi kitakacho kutana kikosi cha chelsea ,mchezo hutachezwa pale Stamford bridge siku ya ijumapili.

No comments:

Post a Comment