Wednesday, 19 October 2016

Tekno ananyimbo mpya "DIANA" ambayo anajaribu kuiachia kwa mashabiki zake .

Wimbo wa tekno pana umetajwa Mara nyingi hapa Nigeria kwenye vituo mbali mbali vya redio baada ya miez kazaa lakini sasa nipo tayari na wimbo wangu ambao nitauachia ili wasikilizaji wangu na mashabiki zangu wafurahio hujio wangu mpya,ndo alivyosema tekno.

No comments:

Post a Comment