Thursday, 20 October 2016

Wenger anahitaji kumtunza Walcot.

Kocha wa Asernal Arsene Wenger amesema hahitaji kufikiria kumuuza mshambuliaji wa uingeleza Theo walcot katika msimu wa majira ya joto.
Walcot aliye cheza michezo 15 ligi kuu uingeleza msimu uliopita lakini amefunga magoli 5.

No comments:

Post a Comment