Kocha wa manchester united kasema "Mchezaji aliyevunja rekodi ya dunia Paul Pogba anahitaji mda kurudia kiwango chake hapa OLD TRAFFORD"
Mfarasa huyo mwenye umri wa miaka 23 alijiunga kwa kitita cha £89M mwaka huu jumanne alifunga magoli mawili,walipo shinda 4-1 zidi ya Fenerbance.
No comments:
Post a Comment