Thursday, 20 October 2016

Eminem amebainisha kuwa anafanya album mpya ambayo ataifungua au kuiachia Nyimbo ya COMPAIGN SPEECH.

Rapa eneminem ambaye ana mashabiki 20•8 M katika mtandao wa twitter amebainisha kuwa anafanya kazi mpya na anafurahia tangazo maaruf kama malipo ya kisiasa lakini kwenye album yake hiyo ataachia nyimbo ya COMPAIGN SPEECH.

No comments:

Post a Comment