Friday, 14 October 2016

Wayne rooney hana nafasi tena kwenye kikosi cha kwanza zaidi ya rashford.

Hana nafasi captain wa uingereza Wayne Rooney kwenye kikosi cha kwaza lakini kijana mwenye umri wa miaka 18 ambaye ni mchezaji wa Manchester united  Marcus rashford atakuwa anaanza kikosi cha kwanza na hiki ndo kikosi cha kwanza HART, WALKER,STONE,SMALLING,ROSE,LALANA,DIER,ALI,STERLING,RASHFORD,KANE.

No comments:

Post a Comment